Free delivery for purchases over 1 499 Kč
PPL Parcel Shop 54 Czech Post 74 Balíkovna 49 GLS point 54 GLS courier 64 PPL courier 99 Zásilkovna 54

Language SwahiliSwahili
E-book Adobe ePub
Publishers Mkuki Na Nyota Publishers, November 2018
Mauaji ya kikatili yanafanyika karibu na mji wa Uitenhage nchini Afrika Kusini siku ya kuwakumbuka w... Full description
? points 61 b
607
In stock Immediate digital delivery

Mauaji ya kikatili yanafanyika karibu na mji wa Uitenhage nchini Afrika Kusini siku ya kuwakumbuka wazalendo, waliouawa mjini Sharpeville mwaka 1960. Makaburu wanajawa na hofu kwa mauaji hayo, na wanawatilia shaka kuwa ni njama za kikundi cha watu weusi za kutaka kupindua mfumo wa Serikali yao ya Ubaguzi wa Rangi. Uongozi wa Makaburu wa Afrika Kusini wakiongozwa na Mkurugenzi wa Shirika la Ujajusi, Kamanda wa Jeshi la Kulfut na Mkuu wa Magaidi, wasaliti wa UNITA, wanakutana ili kukabili juhudi za ukombozi wa Afrika Kusini kuwa wimbi la mauaji. Wanapanga pia, mikakati ya kuzizorotesha kisiasa na kiuchumi nchi zilizo mstari wa mbele kupinga uongozi wao na kuzifanya ziogope na kuacha kuwasaidia Wapigania Ukombozi. Mkutano wa Wapigania Uhuru wa Afrika Kusini unafanyika Arusha, nchini Tanzania. Jambo hili linawatia hofu Makaburu, hivyo basi, mikakati kabambe inafanywa na Serikali yao ili kuusambaratisha mkutano huo. Umoja wa Wapigania Uhuru nao unaandaa kikundi makini kabisa ili kupambana na Makaburu hao na kuulinda mkutano wao. Mpelelezi nguli wa Afrika, Willy Gamba, hakosi panapokuwa na mapambano kati ya upande wenye haki, upande wa umma na ule wa dhuluma. Kwa kushirikiana na wapelelezi mahiri kutoka nchi za Kusini mwa Afrika kwa kutumia medani za kivita, mateke, ngumi, kung fu achilia mbali bastola, visu na silaha nyingine wanapambana dhidi ya Makaburu hao na vikundi mbalimbali vya kigaidi vilivyoshirikiana nao. Hekaheka zinatokea Arusha, Makaburu wanakipata cha moto. Mwindaji awa mwindwaji...fuatilia. The four books in this series of detective novels, written in Swahili, were authored by the late Aristablus Elvis Musiba. The novels follow the exploits of Willy Gamba, an elite special operations Tanzanian intelligence officer. Set in various locations in Africa Willy is dispatched to neutralise agents within the Apartheid Regime as well as saboteurs, who are out to destroy those involved with the liberation struggles being waged in Southern Africa.

About the book

Full name Hofu
Author E.A. Musiba
Language Swahili
Binding E-book - Adobe ePub
Date of issue 2018
Number of pages 162
EAN 9789987449927
Libristo code 45085941
Give this book today
It's easy
1 Add to cart and choose Deliver as present at the checkout 2 We'll send you a voucher 3 The book will arrive at the recipient's address

Login

Log in to your account. Don't have a Libristo account? Create one now!

 
mandatory
mandatory

Don’t have an account? Discover the benefits of having a Libristo account!

With a Libristo account, you'll have everything under control.

Create a Libristo account